Thursday, 16 July 2015

RAY C,RECHO,Z ANTO WATOA YA MOYONI,SOMA HAPA

antonHitmaker wa ‘Binti Kiziwi’ Z Anto amekuwa akipost picha yupo location.. mwenyewe amefunguka na kusema kuna kazi amefanya na mastaa wengi wa filamu na itaingia sokoni wakati wowote..amesema  hiyo ni filamu yake ya kwanza kuanza kuonekana…mpaka sasa amefanya tatu lakini mbili bado hazijatoka.
Z Anton
Ray C aliwahi kusema anatarajia kufanya kazi na msanii mwenzake Recho…mwenyewe Recho leo kafunguka na kusema tayari kazi yao imekamilika katika studio ya THT na wanasubiriwa kwenda kuikamilisha..pia wawili hao wanatarajia kufanya nyimbo zaidi ya nne wakiwa pamoja.
recho
Recho na Ray C
Jokate amesema sababu ya kuchelewa kwa video ya ‘LeoLeo’ ni  wamekuwa wakipishana ratiba na Ice Prince ambaye ndiye aliyemshirikisha kwenye nyimbi hiyo..lakini soon itakua tayari , wamepanga kushoot Tanzania, Nigeria, Afrika Kusini au Zanzibar na sasa wanaangalia ni wapi patawavutia zaidi kati ya nchi hizo walizochagua.
kidoti
Jokate Mwegelo

No comments:

Post a Comment