Thursday 7 May 2015

DADA AJUTIA KILICHO MKUTA

MWANAMKE mmoja ajulikanae kwa jina la flora mkazi wa temeke jijini Dar es salam ,amekutwa na ugonnjwa ambao haujajulikana kwa hat\ralka mpaka sasa mwanamke huyo ambae alizungumza na CHENGULA NEWZ akiwa  hospitali  na kusema kuwa mpaka sasa ugonjwa huo umemchukuwa muda wa  wikimbili mpaka hivi sasa kwakuwa maziwa yake yamekuwa ya kiongezeka siku baada ya ya siku
   CHENGULA NEWZ ilizungumza na wakazi waeneo hilo la yombo dovya ambapo dada huyo anakaa na kuzungumza kwa namna tofauti tofauti kwa kuwa wengine wamekuwa wakisema nimiongoni mwa wanawake  walio kuwa wakipenda jkuongeza maziwa na kundi lingine  likizungumza niugonjwa wa kawaida kama ilivyo kwa watuwengine ambao wamekuwa wakiuguwa

No comments:

Post a Comment