
"Kikubwa kwangu ni kufikia malengo ambayo nimejiwekea kwasasa mengine kwangu nikawaida pia naishukuru klub yangu ya yanga kwa kufanikiwa kuni weka kwenye ramani ya kimataifa ambapo kwasasa klub nyingi zinanihitaji kwasababu ya ushirikiano wangu na timu ya yanga"
Hatahivyo aliongeza kuwa anawaomba wapenzi na mashabiki wa ngu waendelee kunipa sapoti ili niweze kufika mbali kwani bila ya sapoti yao mimi siwezi kufika pale ninapo pataka
No comments:
Post a Comment