Tuesday 23 June 2015

OKWI ATEMA CHECHE HII LEO,



MKALI wa mabao ya mbali ,Emanuel Okwi,ameibuka na kusema kuwa yupotayari kuonyesha ushindani wa kweli kwenye kikosi cha wekundu wa msimbazi kwani kwa sasa anaamini patakuwa na ushindani mkubwa wa namba kwa kuwa kocha anae kuja ni kocha mpya na  na nimiongoni mwa watu ambao wanajali kitu ambacho mchezaji anaonyesha na sio majina,

   Pia mkali huyo nyota raia wa uganda ameongelea uwepo wa washambuliaji wengine akiwemo Mussa Hasan  mgosi,Paul Kiongera kutoka kenya pamoja na Mavugo kutoka Burundi,jambo ambalo yeye anaamini kuwa itakuwa sababu ya yeye kuongeza juhudi zaidi ili kuipatia timu yake mafanikio tofauti na msimu ulio pita ambapo walidhamiria kushika nafasi mbili 2  za juu laki wakajikuta wakifanyiwa uhuni na wapinzani wao yanga baada ya kukubali kichapo cgha mabao 2 kwa 1 dhidi ya AZAM jambo ambalo wanaamioni kuwa ulikuwa ni mchezo ambao ulikuwa umepangwa ila kwa msimu huu lazima simba iwe bigwa wa ligi kuuu ya vodacom Tanzania bara,
 Naye ma\kali wa mabao ya vichwa katika ligi kuu ya vodacom tanzania bara,Hamis Tambwe, amesema kuwa simba wamepata bonge la streika kwani mchezaji huyo maarufu kama Mavugo,amekuwa tishio kwenye ligi ya burundi kwani amekuwa akifanya vizuri zaidi ya misimu mitata 3 hivyo simba wamepata mtu sahihi wa kuwa peleka katika mashindano ya kimataifa,


 Hatahivyo okwi amesema kuwa ushirikiano wa wakali kwenye safu ya ushambuliaji akiwemo ,Pita Mwalianzi,Mavugo, Paul  Kiongera, Mussa  Mgosi, Eliasi Maguli, Imbahimu  Hajibu, pamoja na yeye mwenyewe nikikosi ambacho kitaipeleka mbali simba kwani wote niwashindani na kila mtu anataka kufanya vizuri kwakuwa kari bia wachezaji wote wanataka kujiweka kwenye mazingira mazuri ili kuaminiwa na kocha wao mpya raiya wa ENGLAND

No comments:

Post a Comment