Hatahivyo pamekuwa na maswali mengi juu ya kuwa kimya ambapo wengine wamekuwa wakifikiri amejitoa katika chama hicho kutokana na ujio wa waziri wa zamani wa tanzania Mh Edward Lowasa,kuingizwa katika chama chao na kuwania uraisi kwa tiketi ya ukawa
Mapema mwezi ulio pita ilishuhudiwa mwenyekiti wa umoja wa ukawa Prof Imbahim Haruna Lipumba,kujitoa au kuachia ngazi ya uwenyekiti wa ukawa pamoja na uongozi kwenye chama chake cha CUF na kuwa mwanachama wa kawaida katika chama cha wananchi kafu jambo ambalo lilizua maswali mengi kwa wapenzi na wanachama wa CUF lakini yeye alisema ameona akae pembeni kutokana na kuona mambo waliyo kubaliana yamekuwa yakienda tofauti.
No comments:
Post a Comment