Wednesday, 2 September 2015

UKAWA FEKI WAKAMATWA JIJINI DAR ES SALAAM,WENYEWE WATOA NENO

WASHUKIWA wa maandamano ambao walikuwa wakiandamana kushinikiza kurudishwa katika hatua ya kugombea uraisi kupitia tiketi ya chama cha democrasia na maendeleo  CHADEMA

 kikundi hicho kimezua tafaruki kubwa katika maeneo ya moroco jijini dar es salaam,ambapo palipelekea vurugu nyingi kwa wanachama wa ukawa pamoja na kikundi cha watua ambao walikuwa ni ukawa feki jambo ambalo lilikuwa likitoa sura mpya kuelekea katika uchaguzi.

Hatahivyo watu hao inasadikika walikuwa wametumwa ili kuivuruga uka lakini waka zibitiwa na wanachama wa ukawa pamoja na polisi walio ingilia na kufyetua mabomu ili kuzuia tukio hilo lilo dumu kwa masaa kadha

Wkizungumza na CHENGULA NEWS kwa nyakati tofauti washukiwa hao wamesema kuwa hakuna kilicho kuwa na matatizo juu yao kwani lengo lao lilikuwa ni kuandamana mpaka ikulu ili kushinikiza slaa kujiunga na ukawa,baadhi ya walisema kuwa nikweli wametumwa ili kuhakikisha ukawa wanakosa sifa za kuwa na raisi anae kubalika katika nchi,

 Mbatia amesema kuwa ccm wanatapatapa tu kwani swala la lowasa ni miongoni mwa mbinu za kuitoa ukawa kwenye ramani kwani mapema jana mwaikembe alionekana kwenye ukumbi ambao slaa alikuwa akiutumia kutoa taarifa zake juu ya ukawa pia mkutano wa ke uligarimu milioni 80 huku pesa hizo zikiwa hazija toka kwenye mfuko wa slaa

No comments:

Post a Comment