Hatahivyo wapenzi na wanachama wa umoja huo wamekuwa
Mmoja wa wanachama hao ajulikanae kwa jina la, Joshua bryson,alikuwa na haya yakusema alipo kutana na CHENGULA NEWS mapema hii leo jijini dar es salaam,
"kiukweli sisi kama wanaukawa hatuogopi kauli zake za vitisho kwani tunaelewa lengo lake nikuja kwenye kipindi hiki cha kampeni na kutaka kuwavuruga wanachama ili kuto kufikia lengo la umoja wa ukawa,kila mtu anajuwa yakuwa hakuna mtu aliekuwa na ushawishi mkubwaa kama Prf Imbahim Lipumba,lakini leo kaondoka na bado chama cha CUF kipo imara hivo kuondoka kwake yeye kwetu haimaanishi chama kitakufa kwakuwa chama sio cha mtu mmoja.

No comments:
Post a Comment