Thursday 8 September 2016

MIUJIZA MIPYA YAJITOKEZA JIJINI DAR ES SALAAM

Nimiezi mitatu toka usafiri huu maarufu mjini kama bodaboda kuwepo katika viwanja hivi vya vetenari

Kwa mujibu wa shuhuda wetu ameieleza chengula news,  muhusika wa pikipiki hii amefariki dunia baada ya kuanza kuitumia kama usafiri wa kibiashara mahali hapa

Taarifa za mashuhuda zinasemakuwa bodaboda hii iliibiwa kutoka tanga na kuletwa daresalaam kwaajili ya biashara hatahivo pikipiki hiyo imekuwa na maajabu mengi jambo ambalo wausika wamekuwa wakilinganisha na ushirikini

CHENGULA NEWS ilivyo zungumza na wausika wamesema kuwa pikipiki hiyo haisogei wala haitoki jambo ambalo limekuwa kama utalii kwa wakazi wa jiji la daresalam kufika eneo husika na kujaribu kuitoa pikipiki

No comments:

Post a Comment