Wednesday 13 May 2015

GUARDIOLA ALIA NA MAJERUI

Guardiola was speaking at Bayern's press conference ahead of their Champions League semi-final second leg
Guardiola amezungumza na Waandishi wa Habari kuelekea mechi na Barcelona kesho 

Baada ya kufungwa mabao 3-0 katika Nusu Fainali ya kwanza Barcelona Mei 6, kocha huyo mwenye umri wa miaka 44 anatakiwa kushinda 4-0 nchini Ujerumani ili kutinga Fainali.
Lakini alipoulizwa kuhusu ofa ya Manchester City, mchezaji na kocha huyo wa zamani wa Barca, alisemna; "Vijana, nimesema hii mara 200 kwamba nina Mkataba wa mwaka mmoja zaidi hapa. Msimu ujao nitakuwa hapa, ni hivyo tu,". 
Guardiola aliiacha timu yake kipenzi Barcelona mwishoni mwa mwaka 2012 baada ya kushinda nayo mataji 14 yakiwemo mawili ya Ligi ya Mabingwa, kabla ya mwaka uliofuata kujiunga na Bayern na tangu hapo ameiwezesha kushinda taji la Bundesliga mfululizo.

No comments:

Post a Comment