Saturday 23 May 2015

YANGA SC YATOA ONYO KWA SIMBA SC

 
Na  Paul   Chengula

   WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa mwakani Yanga sc,Wameibuka na kupinga vikali uvumi juu ya mshambuliaji wao tegemeo wa kulia,Saimon  Msuva,kujiunga na maasimu wao simba sc yenye maskani yake huko kwenye mitaa ya msimbazi jijini Dar es salaam.

Hatahivyo palikuwa na taarifa juu ya msuva kujiunga na sim,ba kwa madai ya simba kuununua mkataba wa mwanandinga huyo jambo ambalo yanga wamelitolea ufafa nuzi kuwa nikitu kisicho wezekana wao kumuuza  mcheza kwa maasimu wao wa karibu bila kujuwa sababu hasa ya kumuuza na kama kumuuza mchezaji ni bora auzwe nje ya nchi kuliko kuuzwa simba kwani sikuzote simba watabaki kuwa maasimu wao na kumuuza mchezaji simba ni sawa na ndoto za mchana, 

  Msuva amekuwa na maelewano yasio mazuri na yanga baada ya uwongozi wa yanga kumpeleka katika kamati ya maadili ili achukuliwe adhabu juu ya swala lake la kutoroka kambini na kukimbilia huko Afrika kusini kufanya majaribio ya kwenda kucheza soka la kulipwa. 

No comments:

Post a Comment