Saturday 13 June 2015

SIMON MSUVA ATOA YA MOYONI HII LEO


MKALI wa tuzo kwa upande wa mpira wa miguu nchini TanzaniaSaimon Msuva,Ameibuka na kuupinga uvumi ulio kuwa ukienezwa juu ya upatikanaji wa tuzo zilizo tolewa  na mzamini mkuu wa ligi vodacomAkizungumza na CHENGULA NEWZ moja kwa moja kutoka Misri,Msuva alikuwa na haya ya kusema

  "kwanza na furahi kwa kuchukuwa tuzo hizo mbili lakini  pia nawashukuru wazazi wangu kwa ushirikiano walio nipa pia yanga ambayo ni timu yangu kwasasa kwa kunifanya nifikie nusu yas malengo yangu lakini pia shukran kwa kocha mkuu wa yanga,kiukweli nashangazwa na maneno ya watu kusema kuwa sikustaili kuchukuwa tuzo hizi sasa walitaka nani achukuwew tuzo ya mchezaji bora kama sio yule alie ongoza kwa kufunga magoli,nivyema tukaheshimu matokeo  kwani sikuzote matokeo ni kitu ambacho hakiwezi kubadilika"Alisema msuva
     Pia msuva amewataka wapenzi na mashabiki wa soka nchini wasichoke kumpa sapoti anapo kuwa uwanjani kwani bila wao hawezi kufanya vizuri kwasas tupo kwenye majukum ya kulitumikia traifa baada ya hapo tunategemea kuingia kwenye mashindano ya vilabu biora afrika mashariki na kati hivyo mashabiki kwake ni nguvu yakumfana aendelee kufanya hizuri katika mashindano haya pamoja na msimu mpya wa ligi kuu ya vodacom.


Hatahivyo msuva hakuliacha nyuma swala la kocha bora ambapo mwaka huu tuzo hiyo imekwenda kwa kocha mzawa Mbwana Makata,watanzania wengi wamekuwa wakilipinga hili lakini ni ukweli usio fichika kuwa Makata amefanya kazi kubwa sana katika mechi 8 alizo cheza ameshinda mechi 4 sare 3 na kupoteza 1,pia ameweza ku 
isaidia timu isishuke daraja hivyo kwa upande wangu bado makata anastaili kuchukuwa tuzo hiii kwa kazikubwa alio ifanya

No comments:

Post a Comment