Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA Edward Lowassa October 2 2015 alisimama mbele ya Wananchi wa Jimbo la Babati Mjini katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kwaraha, Babati Manyara.
Wakati Edward Lowassa akiwa amepita Babati mjini na Mto wa Mbu, Mama Regina Lowassa alikua Dar es salaam akizungumza na Wanawake
No comments:
Post a Comment