
Miongoni mwa wananchi ambao wamekuwa na imani tofauti juu ya kiongozi huyo kuelekea Nigeri na kuombewa na mchungaji


TB Joshua,alimtabiria kiongozi huyo wa ukawa kuwa atafanikiwa kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa tanzania jambo ambalo limekuwa gumzo kwa hivisasa juu ya nani atakuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Serikali imewataka watanzania kujitokeza kwa wingi isiku ya kupigakura ili kufanikiwa kumchagua mtu sahihi wa kuiongoza Tanzani
No comments:
Post a Comment