Na Paul Chengula
Kocha Mkuu wa Simba, Jackson Mayanja amesisitiza mchezaji lazima awe na nidhamu na hilo halina mjadala kwake.
Akasisitiza kuwa Hassan Isihaka amerejea katika kikosi chake na anafanya kazi vizuri sana kwa kuwa ameelewa yeye anataka nini.
“Tunaendelea
vizuri sana na Isihaka, anafanya mazoezi na wenzake na mambo yanakwenda
vizuri. Hiki ndicho ninachotaka kwa kuwa kwangu nidhamu ni namba moja
kwangu.
“Isihaka
tunaye na hana tatizo, anaendelea vizuri. Bado naendelea kusisitiza
suala la nidhamu ni muhimu kabisa katika kazi yangu,” alisema Mayanja.
Isihaka amerejea kundini Simba baada ya kuwa amesimamishwa baada ya kumjibu maneno yasiyo ya kiungwana kocha hu
No comments:
Post a Comment