Tuesday 20 June 2017

NIYONZIMA AWADUWAZA YANGA SC CLOUB

Na PAUL CHENGULA

    Kiungo matata maarufu kama niyonzima,amezidi kuwashangaza wapenzi na mashabiki wa club ya dar yanga africa jijini dar esalam.

Nibaada ya mkanganyiko mkubwa uliokuwepo juu ya hatma yake ya kurudi dimbani katika msimu ujao wa 2017-2018
 
Kiungo huyo machachari ameweka wazi kuwa yupo tayari kuitumikia club ya simba na ameweka wazi juu ya mawasiliano na simba juu ya kujiunga na kikosi cha simba katika msimu ujao

No comments:

Post a Comment