Na PAUL CHENGULA
Kiungo matata maarufu kama niyonzima,amezidi kuwashangaza wapenzi na mashabiki wa club ya dar yanga africa jijini dar esalam.
Nibaada ya mkanganyiko mkubwa uliokuwepo juu ya hatma yake ya kurudi dimbani katika msimu ujao wa 2017-2018
Kiungo huyo machachari ameweka wazi kuwa yupo tayari kuitumikia club ya simba na ameweka wazi juu ya mawasiliano na simba juu ya kujiunga na kikosi cha simba katika msimu ujao
No comments:
Post a Comment