Sikuchache baada ya Magufuli kutoa kauli hiyo Tanesco,wameunda team maalum kwenda kwenye bwawa la mtera na kidatu ili kuchunguza sababu zinazo pelekea kupunguwa kwa maji katika mabwawa hayo.
Hatahivyo magufuli alisikitisha na huduma inayo tolewa na shirika hilo huku akielezea mapato yanayo potea baada ya kukosa huduma

Pia wadau mbali mbali wamelizungumzia swala hilo kuwa
No comments:
Post a Comment